Tuesday, August 5, 2014

YANGA YAPEWA ADHABU CECAFA.

DSC_0082-1Baada ya jana usiku katibu mkuu wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) Nicholas Musonye kutoa onyo kwa Yanga kuwasilisha majina mapya ya wachezaji wa kikosi cha kwanza kwa ajili ya Kagame Cup, leo hii CECAFA wametoa uamuzi mpya dhidi ya Yanga.
Yanga SC sasa rasmi imeondolewa kwenye michuano ya Kagame kutokana na Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati kupinga kupeleka timu ya vijana.
Yanga ilitaka kupeleka timu yenye vijana wengi iliyochanganyika na wakongwe wachache.
Lakini Katibu Mkuu wa Cecafa, Nicholas Musonye akasema hizo ni dharau. Wanasema ni timu ina wachezaji wa timu ya kwanza, vipi Maximo abaki Dar es Salaam.

BUNGE MAALUMU HALIJAUZULIWA NA WAJUMBE WA UPINZANI, HUKU MWENYEKITI AKILIFUNGUA BUNGE HILO.Soma zaidi

Karibuni tena Dodoma Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la kutunga Katiba ya nchi yetu. Sote tuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu wetu kwa kuendelea kutupa uhai na afya hadi leo kutuwezesha kuwepo ndani ya ukumbi huu. Tupo humu ili tuitekeleze kazi waliyotukabidhi Watanzania wenzetu milioni arobaini na sita (46) ya kuwapatia Katiba mpya. Dhamana hii ni nzito na haistahili kufanyiwa ajizi.

HII SASA HATARI: MLEMAVU WA MGUU, ATUMIA MGUU WAKE WA BANDIA KUUZA MADAWA LA KULEVYA.Soma zaidi hapa


Kamishna Kova akiwa na RPC mpya wa Temeke, Kihenya Kihenya.
Kamishna Kova akiwa kashika moja ya dawa ya kulevya huku afande Alfred akiwa kashika mguu huo wa bandia anaotumia mlemavu.
Kamishna Suleiman Kova akionesha namna mguu huo wa mtu mwenye ulemavu unavyotumika kutunzia dawa za kulevya.

MBUNGE WA TABORA NA MWENYEKITI WA CLABU YA SIMBA, RANGE ANUSULIKA KIFA BAADA YA KUPATA AJALI MBAYA, AKIWA ANAELEKEA BUNGENI MJINI DODOMA JANA ILI KUHUDHULIA BUNGE MAALUMU LA KATIBA.

ANGALIA PICHA RAGE APATA AJALI AKIWA NJIANI KUELEKEA DODOMA

Mbunge wa Tabora Mjini (CCM) Ismail Aden Rage, ambaye pia ni mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, akiwa amelazwa kwenye hospitali ya Rufaa, Dodoma, Jumatatu Agosti 4, 2014. Rage alipata ajali eneo la Chigongwe, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma, wakati akielekea mjini humo tayari kushiriki vikao vya Bunge Maalum vinavyoanza Jumanne Agosti 5, 2014.

Monday, August 4, 2014

KWA NAMNA HII MADEREVA WATAENDELEA KUUA ABIRIA.

IMG_6581 IMG_6590Basi la kamwana express likilipita lori kwa mwendo kasi karibu na eneo la Chalinze mkoani Pwani huku dereva huyo akijua sheria za bararani kuwa ni marufuku kulipita gari nyingine  na anajua wazi kuwa mbele kuna gari inakuja . Hutua hii inasababisha kukosekana kwa usalama wa abiria na raia

NEW SAFARI RESTAURANT UNDER NEW MANAGEMENT.

                        KARIBUNI LEO / KESHO / KILA SIKU

SAFARI FRESH FOOD DAILY//NO PRE-COOKED MEAL

Sunday, August 3, 2014

PRESIDENT DR. JAKAYA KIKWETE VISIT (NATIONAL INSTITUTE OF HEALTH) IN WASHINGTON DC

d1
President Jakaya Mrisho Kikwete with Reasearch fellow and Senior Lecturer at the Muhimbili University of Health Sciences, Dr Julie Makani (left) and Prof. Mwaikambo during his familiarisation tour of the National Institutes of Health (NIH) in Washington DC July 2, 2014

KAMWE,'UKAWA' HAWATA RUDI BUNGENI.


Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe akizungumza na waandishi wa habari, kuhusu msimamo wao wa kutorudi bungeni kujadili Rasimu ya Katiba Mpya. Wengine ni wenyeviti wenza wa umoja huo, Profesa Ibrahim Lipumba (kulia) na James Mbatia. Picha na Michael Matemanga

Dar es Salaam. Joto la Katiba Mpya linazidi kupanda nchini, huku baadhi ya wasomi na makundi mbalimbali ya watu wakizidi kutilia shaka utapatikanaji wa Katiba hiyo.
Mkurugenzi wa Shule ya Sheria ya Kenya (KSL), Profesa Patrick Lumumba na mwandishi wa habari mkongwe nchini, Jenerali Ulimwengu wameonya kwamba kwa hali ilivyo hivi sasa hakuna Katiba Mpya inayoweza kupatikana.

BRAKING NEWS; TAIFA STAR YASHINDWA KUFUNZU KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA, BAADA YA KUFUNGWA 2-1


Kikosi cha Stars.
TIMU ya Taifa ya Tanzania, 'Taifa Stars' imeondolewa katika kinyang'anyiro cha kuwania kufuzu kucheza Kombe la Mataifa Afrika 2015 baada ya kufungwa mabao 2-1 na timu ya Taifa ya Msumbiji 'Mambaz' leo.
Mechi hiyo imepigwa mjini Maputo nchini Msumbiji ambapo Stars imeondolewa kwa jumla ya mabao 4-3 baada ya sare ya 2-2 katika mchezo kwa kwanza uliopigwa jijini Dar Julai 20 mwaka huu.

ARSENAL WENGER , AJIPA MATUMAINI YA KUFANYA VIZURI KWENYE LIGI KUU MSIMU HUU.

 
    Alexis Sunchez ndani ya jersey ya Arsenal mbele ya mashabiki ndani ya Emirates.
Arsenal Wenger akiwa na sura ya matumini baada ya ushindi wa kishindo zidi ya Benfica kwenye mchezo wa Emirates Cup, mchezo huo uliofanyika kwenye uwanja wa Emirates London na Arsenal kuibuka na ushindi wa bao 5 kwa 1. Yaya Sanogo na Joel Campbell ndiyo wachezaji walieongoza mauaji hayo ya kwanza kwa Arsenal kwenye uwanja wake wa nyumbani wa Emirates London na ikiwa ni mwanzo mzuri kabla ya ligi kuanza mwezi huu.