Tuesday, June 10, 2014

TOP 10 COUNTRIES MOSTLY TO WIN THE 2014 FIFA WORLD CUP


 10. PORTUGAL
portugal
Portugal is an experienced team and their stars Christiano Ronaldo alongside other key players such as Pepe , Bruno Alves and Fábio Coentrão .

VIJANA WATWANGANA KWA AJILI YA KUGOMBEA RIZIKI.

Shimo ambalo limekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo.Gari  la serikali likiwa limekwama kwenye shimo hilo.

'UNYAMA' BINTI ATOA SIRI NZITO. Soma hapa kujua zaidi


NYUMAya pazia! Yule msichana Yusta Lucas (20) mwenyeji wa Mkoa wa Tabora ambaye alifika jijini Dar kufanya kazi ya u-hausigeli na kufanyiwa ukatili wa kutisha na bosi wake kisha habari zake kuandikwa, ametoa siri nzito, Uwazi limemegewa.

EBU CHEKA KIDOGO TUUU.!!!!!!!!!!!!

 

SHEKH MOHAMED IDRIS AFARIKI DUNIA KWA KUPIGWA RISASI NCHINI KENYA

Muhubiri wa kiisilamu ameuawa mjini mombasa pwani ya Kenya , ikiwa ni mauaji ya hivi karibuni ya kiongozi mwingine wa kidini.
Sheikh Mohammed Idris, ambaye ni mwenyekiti wa baraza la maimamu na wahubiri nchini Kenya, aliuawa karibu na msikiti ulio karibu na nyumba yake na watu wasiojulikana.
Duru zinasema kwa alikuwa amepokea vitisho kutoka kwa vijana wenye itikadi kali za kidini na tayari alikuwa ameelezea hofu juu ya maisha yake.

CHUI WAVAMIA MOSHI VIJIJIN

WAKAZI wa kijiji cha Okeseni Chini,  Wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro, wanalala mapema wakihofia kushambuliwa na kundi la wanyama aina ya Chui lililovamia kijiji hicho.
 
Akizungumza  kwa njia ya simu jana, mmoja wa wakazi hao, Pamfill Shayo, alisema hivi sasa wanakijiji hao wanaingia ndani saa 12 jioni na kulala wakiogopa kushambuliwa na chui hao ambao tayari wameshaua mifugo ipatayo 25.

DAR ES SALAAM NDO MJI MASHUHURI TANZANIA

 JijiDSM_8825b.jpg
WAKATI Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, unapanga kuongeza nauli za daladala kwa wakazi wa Dar es Salaam ili kukabiliana na tatizo sugu la foleni, taarifa ya matumizi ya kaya binafsi Tanzania Bara, zimeonesha kuwa Mkoa wa Dar es Salaam, ndio mahali ghali zaidi nchini.
Gazeti hili lilichapisha kwa mara ya kwanza habari kuwa Dart awamu ya kwanza ikianza, nauli ya basi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwenda na kurudi vituo vikubwa vikiwemo vya Kariakoo, Posta na Kimara, itapanda kutoka nauli ya chini ya Sh 400 ya sasa mpaka Sh 700 na 800 kwa ruti moja.

RAIS KIKWETE AHANI MISIBA YA KANALI MSTAAFU ALI MWANAKATWE, MCHEKESHAJI SAIDI NGAMBA “MZEE SMALL” JIJINI DAR

  j4
        j1

Monday, June 9, 2014

WAANDISHI WA HABARI WAPATA AJALI MBAYA WAKIKWEPA TEMBO


Ajali mbaya imetokea juzi usiku katika moja ya maeneo mto Rubana wilayani Bunda kuingia mbuga ya Serengeti ikihusisha watu wanne baadhi yao wakiwa ni waandishi wa Habari.
Napata fursa yakufanya mahojiano na mmoja wa majeruhi katika ajali hiyo Fredrick Katulanda mwandishi wa habari wa gazeti la Mtanzania ambaye alisema kuwa ajali hiyo ilitokana na kumkwepa tembo aliyejitokeza ghafla akivuka barabara

CCM NA CHADEMA WATAMBIANA.


VITA ni vita! Siku mbili zimekatika tangu sakata la picha ya pozi inayodaiwa kuwa ni ya mheshimiwa Komba na msichana aliyetajwa kwa jina moja la Angel kutoka kwenye baadhi ya vyombo vya habari Bongo, lingine limeibuka!

Hili la safari hii ni zito pia. Lenyewe linamhusu mheshimiwa mmoja ambaye anadaiwa ni mbunge wa Chadema. Na yeye anasemekana kwamba alipiga picha katika pozi tata na ‘totoz’ ambaye jina lake halikupatikana.

Sunday, June 8, 2014

HAPPY BIRTH DAY FRANK!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.

 
Hapa B-Boy akijiandaa kukata keki  
B-Boy akiwa na mpenzi wake kipenzi katika sherehe yake ya kuzaliwa upya
Bofya Hapa kupata picha nyingi zaidi.

Marehemu Mzee Small na Mtoto wake jana....!

 

Pichani ni mzee small akiwa na mtoto wake kipenzi mahamood usiku wa kuamkia jana, mtoto huyo anasema alimuaga baada ya chakula cha usiku kwamba anakwenda kulaa ilipofika asubuhi ya kuamkia jana hakuweza kuongea tena mpaka mauti yalipomfika majira ya Saa4 usiku. Picha na Awadh Ibrahim KwanzaJamii/Mjengwablog akiwa nyumbani kwa marehem

TAZAMA PICHA ZA REDCARPET ZA MTV AWARDS, 2014

Diamond na Wema wakipiga picha za Red Carpet katika tuzo za MTV zinazoendelea usiku huu mjini Durban South Afrika, wadau wamempongeza designer wao kwa mavazi mazuri yaliyo match vizuri, kuanzia nguo hadi saa na bangili za mkono. NI SUPERB!

NAPE ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA SAUTI MWANZA.

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipokelewa na umati wa watu kwenye eneo la mkutano Nyamalango ambapo atahutubia wanachama wa CCM Tawi la SAUT pamoja na wakazi wa maeneo hayo , pamoja na kuhutubia pia Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi atawapokea wanachama zaidi ya 30 wanaotoka Upinzani na kujiunga na CCM