Friday, July 25, 2014

RAIS KIKWETE MGENI TASMI, SIKUU YA MASHUJAA.

PIX 8.    
PIX 9.
Raisi Kikwete akiwa na Mkuu wa majeshi katika maadhimisho ya siku ya mshujaa ambayo kitaifa yamefanyika jijini Dar Es Salaam kwenye viwanja vya mnazi mmoja.
PIX 1. 
Kikosi cha jeshi la wananchi wa Tanzania
PIX 2. (1) 
Gwaride likiendelea kwenye viwanja hivyo
PIX 8.
Raisi Kikwete akiingia kwenye viwanja vya mnazi mmoja akiwa na mkuu wa majeshi

Wednesday, July 23, 2014

Waziri Binilith Mahenge kuendelea ziara ya ukaguzi wa maeneo ya viwanda jijini Dar es Salaam


Sitowachekea wachafuzi wa Mazingira - Mh.Mahenge

Na Rashda Swedi- VPO
Viwanda vitakavyokiuka masharti na kanuni za kulinda mazingira havina budi kufungiwa mpaka vitakapofuata taratibu na sheria za utunzaji wa Mazingira.

Hayo yamesemwa hivi karibuni jijini Dar es Salaam na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mzingira Mh. Dkt. Injinia Binilith Mahenge alipofanya ziara fupi ya kutembelea kiwanda cha kuzalisha mafuta (Murza Oil Mills Limited) kilichopo Vingunguti.

hata hivyo Mheshimiwa Mahenge alisema hayo baada ya kutoridhishwa na mfumo wa maji taka ya kiwanda hicho na kuwaambia waboreshe zaidi mfumo wa maji taka kwa lengo la kulinda mazingira kwa sababu wasipofanya hivyo Serikali itachukua hatua ya kukifunga kiwanda hicho

MUHIMBILI YA TOA TAARIFA KUHUSU VIUNGO VYA BINADAMU.



eshi la Polisi linawahoji watu nane wakiwemo Madaktari wa chuo cha kitabibu cha IMTU kwa madai ya kutupa mabaki ya masalia ya binadamu katika msitu mdogo uliopo eneo la Mpiji kata ya Mbweni wilayani Kinondoni Dar es salaam.
Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova alisema kulipatikana mifuko 85 iliyobeba mabaki ya masalia hayo ya binadamu.
‘Imeonekana mara ya mwisho viungo hivyo vilikua katika chuo cha Udaktari cha IMTU kinachofundisha kwa vitendo pia, sasa tunachunguza na wamekubali kuhojiwa, maswali yanayofata ni kwanini viungo hivyo vilikua pale kwa wingi kiasi hicho? kwa nini vilikwenda kutupwa? ‘ – Kova

SOMA VICHWA VYA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI HAPA.

1_c19fc.jpg
2_c396d.jpg
003_90acb.jpg
03_5e0a2.jpg

KAMA ULIIMISS HII;MAREKANI YASITISHA SAFARI ZA NDEGE KUINGIA ISRAILI..SOMA HAPA

  
       
Ndege zasitisha safari kuingia Israili.
Marekani imesitisha safari za ndege kuelekea kwenye uwanja mkubwa wa ndege wa kimataifa wa Ben Gurion ulioko Israili.
Hatua hiyo imechukuliwa baada ya kombora la wanamgambo wa Hamas kuanguka takriban kilomita moja u nusu kutoka kwenye uwanja huo.
Halmashauri inayosimamia usafiri wa ndege wa Marekani (FAA) imetoa amri hiyo dhidi ya mashirika matatu ya ndege yenye kuhudumu huko Israili yaani Delta, United na US Airways dhidi ya kutua wala kuelekea Israili kwa saa 24 zijazo ilikuipa (FAA) fursa ya kutathmini usalama wa abiria na wahudumu wa ndege hizo haswa wakati ambapo Israili inakabiliana na Wapalestina huko Gaza.

Michezo ya Jumuiya ya Madola kuanza-Glascow.

Nembo ya mashindano ya Jumuiya ya madola
Mashindano ya Jumuiya ya Madola kuanza leo mjini Glascow Scotland na kufunguliwa rasmi na Malkia Elizabeth wa Uingereza ambaye pia ni mkuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya madola.
Zaidi ya wanariadha elfu tatu wanatarajiwa kushiriki katika mashindano hayo yatakayodumu kwa muda wa majuma matatu yajayo.
Australia ndio nchi ambayo imetuma kikosi kubwa zaidi katika mashindano haya ya mwaka huu.
Takwimu rasmi zinasema kuwa Australia inaakilishwa na zaidi ya wanariadha 400.

UKATILI:BINTI ABAKWA HADI KIFO KISHA KUTELEKEZWA KWENYE PAGALA!

Kinamama walio karibu na familia ya marehemu Isabela Andrew aliyebakwa hadi kufa wakiangua kilio baada ya kushuhudia mahali mwili wake ulipokutwa huko Area C mjini Dodoma jana.

Mfanyakazi wa ndani, Isabella Andrew (18), amefariki dunia na kifo chake kikidaiwa kusababishwa na kubakwa na watu wasiojulikana. Mwili wa msichana huyo ulikutwa ukiwa umeharibika katika moja ya pagale, lililopo Area C, Dodoma Mjini na mwandishi wetu alishuhudia ukitolewa hapo kwa machela huku polisi wakiwahoji mashuhuda wa tukio hilo. Mkazi wa Mtaa wa Kiwanja cha Ndege, Jackson Coy

TOFAUTI ZA DINI ZISIWAGAWE WATANZANIA ,MWINYI


Futari - 1
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Saidi Meck Sadiki akiongea na watoto wanaotoka katika vituo mbalimbali  vya kulelea watoto yatima vya  jijini Dar es salaam , wakazi wa jiji la Dar es salaam na viongozi mbalimbali wakati wa Futari aliyooiandaa jana usiku katika viwanja vya Karimjee.

RAIS JAKAYA KIKWETE MGENI RASMI SIKU YA MASHUJAA.

    

HII SASA KALI:WASICHANA WANATUMIA SABUNI KUREJESHA BIKIRA.

Baadhi ya wanawake na wasichana huko nchini Kenya wanatumia sabuni inayodaiwa kurejesha usichana yaani 'ubikra'. Sabuni hizo zinadaiwa kukaza misuli ya sehemu za uke na hivyo kuimarisha raha wakati wa kushiriki tendo la ngono na mwanaume.

Tuesday, July 22, 2014

Kauli ya Jeshi la Polisi Tanzania juu ya viungo vya binadamu vilivyopatikana July 21.


polisiKama mfuatiliaji wa mitandao ya kijamii kuanzia usiku wa July 21 kulisambaa taarifa na picha zinazoonyesha viungo mbalimbali vya binadamu ambavyo vilitupwa katika daraja la Mpiji.
Kamanda wa Polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni ameongea na Power Breakfast ya Clouds Fm na kusema>>’Kweli tumekwenda tumevikuta viungo mbalimbali vya binadamu kama mikono,miguu,vichwa na viungo vingine’