Waliofanya usahili
serikalini, wakafaulu lakini kabla ya kupangiwa vituo vya kazi ajira
zikasitishwa; watakiwa kuomba ajira upya.Taarifa ya Sekretarieti ya
Utumishi wa Umma imesema kuwa huo ni utaratibu wa kawaida wa
sekretarieti hiyo
.
.
Aidha majina ya
waliofaulu huhifadhiwa kwenye kanzi data (Database) kwa muda usiozidi
miezi sita, na baada ya hapo majina hayo hufutwa.
No comments:
Post a Comment