Rais Jakaya Kikwete akiwasili kwenye viwanja vya Maonyesho ya 38 ya
Biashara ya Kimataifa TANTRADE yanayofanyika kila mwaka kwenye viwanja
vya Mwalimu J.K.Nyerere Barabara ya Kirwa jijini Dar es salaam wakati
alipotembelea na kukagua mabanda ya makampuni mbalimbali yanayoshiriki
kwenye maonyesho hayo
Saturday, July 5, 2014
JK ALIVYOTEMBELEA MAONYESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA .
SIASA, KITAIFA, KIMATAIFA, MICHEZO,
HOME,
KIMATAIFA,
KITAIFA,
SIASA,
SIASA. ULIMWENGU. KITAIFA
PICHA ZA KISIKITISHA ZA SHEIKH ALIYE PIGWA RISASI 'ARUSHA;!!!!!!!!!.
SIASA, KITAIFA, KIMATAIFA, MICHEZO,
HOME,
KITAIFA,
MICHEZO,
SIASA. ULIMWENGU. KITAIFA
Friday, July 4, 2014
POR; ANNA TIBAIJUKA AISIFU KAZI INAYO FANYWA NA SHIRIKA LA NYUMBA (NHC)
Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka
akipokewa na Felic Maagi Mkurugenzi wa Fedha wa NHC wakati alipowasili
kwenye Banda la Shirika hilo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya
Kimataifa TANTRADE yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwalimu J.K.Nyerere
barabara ya Kirwa jijini Dar es salaam leo.
Subscribe to:
Comments (Atom)