Friday, May 9, 2014
BUNGE LAPITISHA BAJETI YA OFISI YA WAZURI MKUU JANA .
USIKUBALI KUACHIKA UKIWA KWENYE UCHUMBA!
UJANA una mambo mengi lakini vijana wa zama hizi tumezidisha. Matukio ndani ya uhusiano ni mengi zaidi ya wakati uliopita. Kukutana na wanandoa wanaoachana baada ya miaka miwili tu ni jambo la kawaida siku hizi.
WIKI YA ELIMU MKOA WA DAR ES SALAAM YAFANA, WANAFUNZI,SHULE ZA SERIKALI NA BINAFSI ZAFANYA VIZURI MITIHANI YA TAIFA MWAKA 2013
Mkuu
wa Wilaya ya Ilala Bw. Raymond Mushi akiongea na wadau mbalimbali wa
elimu wa mkoa wa Dar es salaam wakiwemo walimu wa shule za msingi na
sekondari,wamiliki wa shule binafsi na wanafunzi wakati wa hafla ya Siku
ya Elimu mkoani Dar es salaam leo.Katika hafla hiyo washindi wa
mitihani ya taifa kwa mwaka 2013 kutoka shule za msingi na sekondari za
serikali na binafsi wametunukiwa vyeti na zawadi mbalimbali kutokana na
ufanisi wao katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).
OFISI YA TAKWIMU TAIFA YATOA TAARIFA KUHUSU MFUMUKO WA BEI.
Mkurugenzi
wa Takwimu za Jamii na sensa ya Watu na Makazi Bw. Ephraim Kwesigabo
akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu
mfumuko wa bei nchini.
MBOWE, CCM YACHAKACHUA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA.
Kambi
Rasmi ya Upinzani Bungeni imesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimehodhi
Bunge Maalum la Katiba kwa kuingiza makada wake 160 kati ya wajumbe 201
wa kuteuliwa na Rais.
Kadhalika, kambi hiyo imesema wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) hawatarejea ndani ya Bunge la Katiba na wataendelea na harakati za kudai Katiba mpya nje ya Bunge.
Kadhalika, kambi hiyo imesema wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) hawatarejea ndani ya Bunge la Katiba na wataendelea na harakati za kudai Katiba mpya nje ya Bunge.
KINANA AKAGUA DARAJA LA MBUTU.
Katibu Mkuu wa
CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na mhandisi Makoye Luhya wakati
wa ukaguzi wa ujenzi wa Daraja la mto Mbutu ambalo litasaidia zaidi ya
watu 130,000 .Daraja hilo pia litasaidia sana wakulima wa pamba na
nikiunganishi cha Tabora naShinyanga.
Subscribe to:
Posts (Atom)