RAISI KIKWETE ALIPO KUTANA NA RAISI WA NIGERIA JIJINI ABUJA.
Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akikaribishwa na kufanya mazungumzo na
mwenyeji wake Rais Goodluck Jonatahn wa Nigeria jijini Abuja jana
pembeni ya Mkutano wa Dunia wa Uchumi. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment