Friday, July 11, 2014

DAKTARI MWINGINE FEKI ANASWA HOSPITALI YA RUFAA MORO

         Askari Polisi wakimtoa nje daktari feki, Karume Habibu (22) kutoka kwenye ofisi ya Mganga Mkuu wa Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro ambako alihojiwa kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi kwa mahojiano zaidi.

MAMA WA WATOTO NJITI MAPACHA ASHUKURU WALIOMSAIDIA

Fatuma akiwa na watoto wake  baada ya kupatiwa fedha na kununua mahitaji ya watoto.

VIJANA NDANI YA SUMATRA.


KABATI.jpg2.jpg3_abd4e.jpg
Mbunge wa Viti Maalum CCM Mkoa wa Iringa Ritta Kabati (wa pili kushoto) akiwatuliza vijana wanaoendesha bajaji mjini Iringa nje ya ofisi za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi kavu na Majini (SUMATRA) baada ya mbunge huyo kuongea na Afisa Mfawidhi wa SUMATRA Mkoa wa Iringa, Rahim Kondo leo mchana, ambapo vijana hao walidai kusumbuliwa na SUMATRA wanapofanya kazi zao. Hata hivyo afisa wa sumatra alikanusha madai hayo na kusema kuwa vijana hao hawataki kufuata taratibu zilizowekwa na mamlaka hiyo. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)

Sunday, July 6, 2014

'WIZI' NI MBAYA, KUWA MAKINI EWE KIJANA .EBU MUONE HUYU.!!!!!

Kijana huyo ambaye hajajulikana jina kwa Mara moja akiwa ametundikwa katika mti baada ya kukamatwa anaiba funguo za magari katika Garage moja Soweto.