Golikipa
wa Ndanda FC, Jeremiah Kisubi akiokoa moja ya hatari langoni mwake
wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Yanga. Yanga
imeshinda 4-0. (Picha na Francis Dande).
Wachezaji wa Yanga wakipongezana baada ya Amis Tambwe kuipatia timu yake bao.
Mshambuliaji
wa Yanga, Donald Ngoma akimtoka beki wa Ndanda FC, Nassoro Kapama
katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa
Uhuru Dar es Salaam. Yanga ilishinda 4-0
Wachezaji wa Yanga wakipongezana baada ya Amis Tambwe kuipatia timu yake bao.
No comments:
Post a Comment