Na Mathias Canal, Kwanza Jamii-Iringa
Kufunga
kunahitaji kujitoa hakika ili kupata thawabu kwa mwenyezi mungu lakini
wapo waliofunga kwa shinikizo la wenza, dini, rafiki, ndugu na hata
jamaa zao wa karibu.
Lengo la kufunga wakati mwingine ni kuondoa na kuzuia tama zote unazokuwa nazo
1.
kufunga ni Amri: (umma wa nabii Musa na Issa, wao walikua wanafunga kila
mwezi siku tatu na siku ya Ashura (inajulikana kama Pass ver au
Pasakha) lakini wanaofunga sasa walipunguziwa siku.
2.
kufunga kunafuta Madhambi (Mizigo). Mungu amesema katika sura#33 aya#35.
Ukijaaliwa pata thawabu, itafute uisome, I have run out of space.
Mke wa mtume (s.a.w) Ummu Salama, alimuuliza Mtume "wamaume mnatajwa kwenye Qurani sisi Je? Siku ile ile saa za Adhuhuri aya hii ikashuka.
Mke wa mtume (s.a.w) Ummu Salama, alimuuliza Mtume "wamaume mnatajwa kwenye Qurani sisi Je? Siku ile ile saa za Adhuhuri aya hii ikashuka.
(Dalili ya Muslima activism)
Nawapongeza
wale waliofunga kwa kumaanisha lakini nawapa pole wale waliofunga njaa
na wanajitambua kabisa kuwa walishinda njaa kisa dhambi wazifanyazo kwa
kujua au kutojua.Hakika kwa macho yangu mawili nilimshuhudia kijana
mmoja akiwazulumu watu huku akijinadi kwa kufunga njaa ila wengine
tulimtazama kwa kuamini alishinda njaa.
Mungu awe
mwema kwetu na kutambua thamani ya binadamu wengine ukizulumu milioni
au laki moja mie naanza kukutazama utafanya nini cha maana kama sio
kufanyia starehe, maana wapo wale ambao wakiwa si walevi basi watavuta
sigara, na wasipofanya yote hayo basi watajihusisha na ngono
zembe(wapenzi wengi) huku wakijikinga na mwamvuli wa dini. Lakini wapo
ambao ni wacha mungu hakika
No comments:
Post a Comment