Sunday, June 1, 2014

WAISILAMU ZAIDI YA 300, WACHANGIA DAMU KATIKA HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA IRINGA.

1_22af5.jpg 
Naibu amir ibrahim, akiongoza kwa kutoa damu katika hospitali ya mkoa wa lind
3_c2ed8.jpg
Waumini wa Kiislam wakitoa Damu katiaka Hospitali  ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa

Naibu Amili Ibrahimu Mgoli  akiongoza katika zoezi la utoaji damu katika hospitali ya Rufaha Mkoani Iringa.
2_8830d.jpg
Meneja wa  Damu Salama Nyanda za juu Kusini Dkt.Kokuhabwa Mkurasi
Sikiliza sauti ya Naibu Amili, Meneja wa Damu Salama Nyanda za juu Kusini Dkt.Kokuhabwa Mkurasi na waumini wa kiisilam kutoka mikoa mbalimbali Nchini Tanzania wakihojiwa na mwandishi wa kwanzajamiiradio/mjengwablog Martha Magessa

No comments:

Post a Comment