Kwenye dakika ya 90 + 3 mpira ukikaribia kuisha Ramos aliifufua furaha ya mamilioni baada ya kuipatia Real Madrid goli la kusawazisha na kufanya hii mechi ipewe Extra time ambako Real waliongeza mengine matatu Bale akilianzisha kisha Marcelo na Cristiano Ronaldo.
Kabla ya mechi hii kuanza hizi hapa chini ndio zilikua takwimu makocha wa timu hizi mbili kwa mujibu wa Super Sport.
No comments:
Post a Comment