Saturday, May 17, 2014

DIAMOND KUSHINDA TUZO YA BET.

Diamond1_bb07b.jpg
1174840_609604362394715_991134628_n_3f33c.jpg

Msanii kutoka Tanzania Diamond Platnumz ameipa tena heshima Bendera ya Tanzania kwa kuwa kwenye kipengelecha msanii bora wa kimataifa (Best International Act) Hii ni hatua kubwa  kwa Diamond baada  ya siku chache  tu nyuma alitangazwa kwenye tuzo za MTV Base (Mama Awards)

No comments:

Post a Comment