Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akichanganya udongo wa Tanganyika na
Zanzibar, huku akishuhudiwa na Rais wa Zanzibar, Abeid Aman Karume, (wa
tatu kushoto) na Mhe. Rashind Mfaume Kawawa (wa kwanza kulia) wakati wa
sherehe za kwanza za Muungano zilizofanyika Tarehe 26 Aprili, 1964.
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (kushoto) na Sheikh Abeid Amani
Karume (kulia) wakibadilishana Hati za Muungano wa Tanganyika na
Zanzibar Aprili, 1964.
No comments:
Post a Comment